forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
454 B
Markdown
16 lines
454 B
Markdown
# Ahithofeli
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamme
|
|
|
|
# kulitunza kasiri
|
|
|
|
Kifungu "kutunza" kinamaanisha kuangalia.
|
|
|
|
# kuwa kitu kinachonuka mbele ya baba yako
|
|
|
|
Ahithofeli anazungumia Absalomu kumchukiza baba yake kama vile kingekuwa kitu ambacho kina harufu ya kuchukiza.
|
|
|
|
# Kisha mikono ya wote walio pamoja nawe itatiwa nguvu
|
|
|
|
Hapa watu waliomfuata Absalomu wanarejerea kwa kutaja mikono yao. Habari hii itaitia nguvu utiifu wa watu kwa Absalomu na kuwapa hamasa.
|