forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
339 B
Markdown
20 lines
339 B
Markdown
# Waliokuwa wamearikwa
|
|
|
|
Inamaanisha "watu waliokuwa wamepewa taarifa"
|
|
|
|
# Wakaenda katika ujinga wao
|
|
|
|
Hawakuwa wanatambua kwa undani kilichokuwa kinakwenda kutendeka
|
|
|
|
# Akamwita Ahithofeli
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba alituma wajumbe kumwita Ahithofeli na kumleta kwake.
|
|
|
|
# Ahithofeli
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamme.
|
|
|
|
# Gilo
|
|
|
|
Hili ni jina la sehemu.
|