forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
375 B
Markdown
16 lines
375 B
Markdown
# Kudharau
|
|
|
|
Kutokupenda au kumchukia mtu au kitu
|
|
|
|
# Yahwe alimpiga mtoto... na akawa mgonjwa sana.
|
|
|
|
Yahwe anaonekana kusababisha ugonjwa wa mtoto kama vili amempiga.
|
|
|
|
# mtoto aliyezaliwa kwako
|
|
|
|
Kifungu "kuzaliwa kwako" inamaanisha kwamba huyu ni mtoto wa Daudi
|
|
|
|
# Mtoto ambaye mke wa Uria alimzalia Daudi
|
|
|
|
Hii inamaana kwamba alizaa mtoto ambaye Daudi ndo alikuwa baba yake.
|