Kwa bahati nilikuwa
Taarifa hii inasisitiza kwamba mtu yule hakuwa amepanga kukutana na Sauli
Sauli alikuwa ameegemea mkuki wake
Maana yake yaweza kuwa 1) Sauli alikuwa amedhoofika na alitumia mkuki kumsaidia au 2) Sauli alikuwa akijaribu kujiuwa kwa kuuangukia mkuki wake.