forked from WA-Catalog/sw_tn
513 B
513 B
Taarifa kwa ujumla
Mfalme Sulemani anatoa jibu la ombi la Adoniya
Kwa nini unamwombea ... Adoniya? Kwa nini usimwombea na ufalme pia ... Sruya?
"Umekosea kumwombea ... Adoniya! Hii ni sawa na kumwombea ufalme pia ... Seruya!" au "Nadhani nimruhusu kuwa mtawala wa ufalme pia!"
Mungu wangu na anifanyie hivyo, na zaidi pia, k ama Adoniya hajayasema hayo kinyume na maisha yake
Mungu atakuwa na haki zote za kuniua na hata kunifanyia hata mabaya zaidi kama sitamwuwa Adoniya kwa sababu ametoa ombi hili"