forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
379 B
Markdown
16 lines
379 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Daudi anaendeleza maombi yake sifa kwa Yahweh
|
|
|
|
# Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani, tustahili kutoa kwa hiari hivi vitu?
|
|
|
|
Daudi anamaanisha yeye na watu wake hawastahili sifa kwa kumpa chochote Yahweh.
|
|
|
|
# sisi ni wageni na wasafiri mbele zako
|
|
|
|
"Unajua sisi si wa muhimu"
|
|
|
|
# Siku zetu katika dunia ni kama kivuli
|
|
|
|
Vivuli vinatokeza na kutoeka haraka.
|