forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
643 B
Markdown
24 lines
643 B
Markdown
# Taarifa za jumla:
|
|
|
|
Daudi anaendelea kuongea na Waisraeli.
|
|
|
|
# Aliniambia
|
|
|
|
"Mungu aliniambia"
|
|
|
|
# nyumba yangu
|
|
|
|
Neno "nyumba" linamaana ya hekalu la Yahweh.
|
|
|
|
# Nimemchagua yeye kuwa mwana wangu, nami nitakuwa baba yake
|
|
|
|
Hii haimaanishi kwamba Solomoni amekuwa kabisa mwana wa Mungu, ila inaeleza mahusiano binafsi kati yake na Mungu watakayo kuwanayo. "Nimemchagua yeye kumtendea kama mwanangu, na nitakuwa kama baba kwake"
|
|
|
|
# amri zangu na sheria
|
|
|
|
Haya maneno mawili kwa ujumla yana maana moja inayoelezea kila kitu ambacho Yahweh alikiamuru.
|
|
|
|
# kama ulivyo siku ya leo
|
|
|
|
Neno "ulivyo" hapa linamuelezea Daudi. "kama ulivyokabidhiwa hii siku"
|