forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
792 B
Markdown
28 lines
792 B
Markdown
# Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu
|
|
|
|
"Helezi, Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu, alikuwa mkuu wa mwezi wa saba"
|
|
|
|
# mwezi wa saba
|
|
|
|
Huu ni mwezi wa saba wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Septemba na mwanzo wa Oktoba kwa kalenda za Kimagharibi.
|
|
|
|
# Helezi ... Sibekai ... Zera ... Abi Ezeri
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# Mpeloni ... Mhushathi ... Manathothi
|
|
|
|
Haya ni majinaya makabila au koo.
|
|
|
|
# wanaume elfu ishirini na nne
|
|
|
|
wanaume ekfu nne "wanaume 24,000"
|
|
|
|
# mwezi wa nane
|
|
|
|
Huu ni mwezi wa nane wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Oktoba na mwanzo wa Novemba kwa kalenda za Kimagharibi.
|
|
|
|
# mwezi wa tisa
|
|
|
|
Huu ni mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Novemba na mwanzo wa Desemba kwa kalenda za Kimagharibi.
|