forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
440 B
Markdown
20 lines
440 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Hii yaendeleza orodha ya Walawi kwa mujibu wa koo zao.
|
|
|
|
# Palikuwa na wanne wa wana wa Kohathi
|
|
|
|
"Kohathi alikuwa na wana 4"
|
|
|
|
# Aruni alichaguliwa kuandaa vitu vitakatifu
|
|
|
|
"Yahweh alimchagua Aruni kuvitoa vitu vitakatifu"
|
|
|
|
# kumpa baraka kwa jina lake
|
|
|
|
"kuwa bariki watu kama wa wakilishi wa Mungu milele"
|
|
|
|
# wana wake walihesabiwa kuwa Walawi
|
|
|
|
"wana wake walikuwa sehemu ya ukoo wa Walawi" Wana wa Musa walikuwa Walawi.
|