sw_tn/psa/108/009.md

520 B

Moabu ni bakuli langu la kunawia

Mungu anaizungumzia Moabu kutokuwa muhimu kana kwamba Moabu ilikuwa bakuli la kunawia au mtumishi wa chini sana. "Moabu ni kama bakuli ninalotumia kunawa"

juu ya Edomu niturusha kiatu changu

Inawezekana kwamba Mungu alikuwa akizungumzia kuimiliki Edomu kana kwamba alikuwa akitupa kiatu chake kama ishara ya kuonesha kuwa anapamiliki. Lakini matoleo mengine yana tafsiri tofauti. "Ninaimiliki nchi ya Edomu" au "Ninarusha kiatu changu katika nchi ya Edomu kuonesha kuwa ni yangu"