forked from WA-Catalog/sw_tn
174 lines
4.2 KiB
Markdown
174 lines
4.2 KiB
Markdown
# damu
|
|
|
|
Msemo "damu" humaanisha kimiminika chekundu kinachotoka kwenye ngozi ya mtu panapokuwa na jeraha au kovu. Damu huleta virutubisho vitoavyo uhai kwa mwili mzima wa mtu.
|
|
|
|
* Damu hutoa ishara ya uhai na
|
|
|
|
inapomwagwa au kutolewa nje, hutoa
|
|
ishara ya kupoteza maisha, au kifo
|
|
|
|
* Watu waliotoa dhabihu kwa Mungu, waliua
|
|
|
|
mnyama na waliimimina damu yake juu ya
|
|
madhabahu. Hili lilitoa ishara ya dhabihu ya
|
|
uhai wa mnyama kulipa dhambi za mtu.
|
|
|
|
* Kwa kupitia kifo chake msabani, kiishara
|
|
|
|
damu ya Yesu iliwasafisha watu kutoka
|
|
katika dhambi zao na hulipa ile adhabu
|
|
wanayostari kwa ajili ya dhambi hizo
|
|
dhambi zao
|
|
|
|
* Yale maelezo "nyama na damu" humaanisha
|
|
|
|
wanadamu
|
|
|
|
* Yale maelezo "mwili na damu yako
|
|
|
|
mwenyewe" humaanisha watu
|
|
wanaohusiana kizazi
|
|
|
|
MAELEZO YA UFASIRI
|
|
|
|
* Msemo huu sharti ufasiriwe na msemo
|
|
|
|
unaotumika kwa damu katika lugha lengwa
|
|
|
|
* Yale maelezo "mwili na damu" yangeliweza
|
|
|
|
kufasiriwa kama "watu" au viumbe vyenye
|
|
uhai."
|
|
|
|
* Kulinga na muktatha, yale maelezo "nyama
|
|
|
|
na damua yangu mwenyewe "waweza
|
|
kufasiriwa kama "familia yangu mwenyewe"
|
|
au "jamaa yangu mwenyewe" au watu
|
|
wangu mwenyewe."
|
|
|
|
* Endapo kutakuwa na maelezo yoyote katika
|
|
|
|
lugha lengwa yanayotumika pamoja na
|
|
maana hii, yangeweza kufasiri "mwili na
|
|
damu"
|
|
|
|
# roho, -a kiroho
|
|
|
|
Msemo roho hulenga sehemu ya watu isiyo na maumbile isiyoweza kuonekana. Mtu anapokufa, roho yake huuacha mwili wake. Pia "roho" yaweza kumaanisha tabia au hali ya kujisikia.
|
|
|
|
* Ule msemo "roho" waweza kumaanisha
|
|
|
|
kiumbe kisicho na mwili unaoonekana,
|
|
hasa roho ovu.
|
|
|
|
* Roho ya mtu ni sehemu yake inayoweza
|
|
|
|
kumjua Mungu na kuamini katika Yeye.
|
|
|
|
* Kwa ujumla msemo "-a kiroho" hukielezea
|
|
|
|
chochote katika ulimwengu usio na
|
|
maumbile
|
|
|
|
* Kwenye Biblia, hasa hulenga chochote kile
|
|
|
|
kinachohusiana na Mungu, moja kwa moja
|
|
kwa Roho Mtakatifu.
|
|
|
|
* Kwa mfano, "chakula cha kiroho" huhusiana
|
|
|
|
na mafundisho ya Mungu yatoayo lishe kwa
|
|
roho ya mtu, "Ile "hekima ya kiroho"
|
|
humaanisha ufahamu na tabia adilifu
|
|
inayotokana na uweza wa Roho Mtakatifu.
|
|
|
|
* Mungu ni Roho naye aliumba viumbe roho
|
|
|
|
wengine wasio na miili ya kuonekana.
|
|
|
|
* Malaika ni viumbe roho, pamoja na wale
|
|
|
|
walioasi dhidi ya Mungu na wakawa roho
|
|
waovu.
|
|
|
|
* Ule msemo "roho ya" pia waweza
|
|
|
|
kumaanisha "kuwa na tabia bainishi za,"
|
|
kama vile katika, "roho ya hekima" au "katika roho ya Eliya."
|
|
|
|
* Mifano ya "roho" kama nia au hisia
|
|
|
|
ungejumuisha "roho ya woga" au "roho ya wivu"
|
|
|
|
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
|
|
|
|
* Kwa kutegeana na muktadha, baadhi ya njia
|
|
|
|
za kufasiri "roho" zinaweza kuhusisha,
|
|
"kiumbe kisicho na maumbile" au "sehemu za
|
|
ndani" au "utu wa ndani."
|
|
|
|
* Katika mazingira mengine, ule msemo "roho"
|
|
|
|
waweza kufasiriwa kama "roho ovu" au
|
|
"kiumbe roho ovu"
|
|
|
|
* Wakati mwingine ule musemo "roho"
|
|
|
|
umetumika kuelezea hisia ya mtu aka vile,
|
|
"roho yangu ilihuzunishwa katika utu wangu
|
|
wa ndani." Hii pia yaweza kufasiriwa kama,
|
|
"nilijisikia kuhuzunishwa rohoni mwangu" au
|
|
"nilisikia kuhuzunishwa mno."
|
|
|
|
* Kile kirai roho ya" chaweza kufasiriwa kama,
|
|
|
|
"mwenendo wa, au ushawishi wa," au "nia ya"
|
|
au fikira"
|
|
|
|
# uweza, weuzo
|
|
|
|
Ule msemo "uweza" humaanisha uwezo wa kufanya mambo au kusababisha mambo yatokee, mara kwa mara kwa kutumia nguvu kubwa. "Uwezo" humaanisha watu au roho zenye uwezo wa kusababisha mambo kutokea.
|
|
|
|
* Ule "uweza" wa Mungu hurejelea uwezon
|
|
|
|
wa Mungu wa kufanya mambo yatokee,
|
|
hasa mambo yasiyowezekana kwa watu
|
|
kuyatenda.
|
|
|
|
* Mungu anauweza kamili juu ya kila kitu
|
|
|
|
ambacho amekiumba
|
|
|
|
* ungu huwapa watu wake uwezo wa
|
|
|
|
kufanya kile atakacho, ili kwamba
|
|
wanapoponya watu au kutenda miujiza,
|
|
wawe wanafanya hivi kwa uweza wa
|
|
Mungu.
|
|
|
|
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
|
|
|
|
* Kwa kutegemeana na muktadha, ule
|
|
|
|
msemo "uweza" pia wawweza kufasiriwa
|
|
kama "uwezo" au "nguvu" au "bidii" au
|
|
"uwezo wa kutenda miujiza au kudhibiti."
|
|
|
|
* Njia zinazowezekana kufasiri msemo
|
|
|
|
"uweza" yaweza kuhusisha "wenye uhai
|
|
walio na uwezo mkubwa" au roho zenye
|
|
kutawala" au "wale wanaotawala wengine"
|
|
|
|
* Yale maelezo kama vile "utuokoe kutoka
|
|
|
|
katika nguvu za adui zetu" waweza
|
|
kufasiriwa kama, "utuokoe kutokana na
|
|
kugandamizwa na adui zetu" au "utuokoe
|
|
kutoka katika kutawaliwa na adui zetu."
|
|
Katika hali hii, "uweza" una maana ya
|
|
kutumia nguvu za mwingine kudhibiti na
|
|
kugandamiza wangine.
|