sw_tn/mrk/07/14.md

674 B

Sentensi unganishi

Yesu anazungumza mfano kwa umati kuwasaidia kuelewa alichokuwa akiwaambia waandishi na Mafarisayo.

Aliita

"Yesu aliita"

Nisikilizeni mimi, ninyi nyote, an mnielewe

Neno hili "Sikiliza" na "elewa" yanashabiana. Yesu anayatumia yote pamoja kusisitiza kwamba wasikilizaji wake lazima wawemakini kwa kile anachokisema.

kuelewa

Inaweza kuma msaada kusema nini Yesu anawaambia kuelewa. "jaribu kuelewa ninachoenda kukuambia"

Hakuna chochote kutoka nje ya mtu

Yesu anazungumza kuhusu anachokula mtu. Hii ni kinyume na "kile kitokacho mwa mtu"

Ni kile kimtokacho mtu

"Ni utu wa ndani" au "Ni kile mtu anachofikiri, anachosema, au dkufanya"