sw_tn/mrk/07/05.md

217 B

Kwa nini wanafuni wako hawaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanakula mikate yao kwa mikono isiyooshwa?

"Wanafunzi wako hawatii tamaduni za wazee wetu! Wanapaswa kuosha mikono yao kwa kutumia ibada zetu!"