forked from WA-Catalog/sw_tn
354 B
354 B
chukizo la uharibifu
"mtu wa aibu atakayevinajisi vitu vya Mungu"
Lililosemwa na nabii Danieli.
"Kuhusu ambacho nabii Danieli aliandika."
asomaye na afahamu
Haya maneno hayakusemwa na Yesu. Matahayo aliongezea haya ili kupata usikivu
Na yule aliyeko juu ya paa
mapaa wakati wa Yesu yalikuwa tambarare, kiasi kwamba watu wangeweza kusimama