forked from WA-Catalog/sw_tn
52 lines
1.8 KiB
Markdown
52 lines
1.8 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotakiwa kuvumilia wakati watakapoenda kuhubiri.
|
|
|
|
# Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake, wala mtumwa aliye juu ya bwana wake
|
|
|
|
Yesu anatumia mithali kuwafundisha wanafunzi wake ukweli wa jumla. Yesu anasisitiza kwamba wanafunzi wake wasitegeme watu kuwatendea vizuri kuliko walivyomtendea Yesu.
|
|
|
|
# Mwanafunzi si mkuu kuliko mwanafunzi wake
|
|
|
|
"Mwanafunzi daima si wa mhimu kuliko mwalimu wake". Mwalimu daima ni wa mhimu kuliko mwanafunzi wake.
|
|
|
|
# wala mtumwa aliye juu ya bwana wake
|
|
|
|
"na mtumwa daima si wa mhimu kuliko bwana wake" au "na bwana daima ni wa muhimu kuliko mtumwa wake"
|
|
|
|
# Inatosha kwa mwanfunzi kwamba awe kama mwalimu wake
|
|
|
|
"Mwanafunzi atalizika pale atakapokuwa kama mwalimu wake"
|
|
|
|
# awe kama mwalimu wake
|
|
|
|
Kama inawezekana, unaweza kueleza dhahIri jinsi mwanafunzi anavyofanyika kuwa kama mwalimu, "Ajue kma mwalimu anavyojua"
|
|
|
|
# na mtumwa kama bwana wake
|
|
|
|
Kama inawezekana uieleze dhahiri jinsi mtumwa anvyoweza kuwa kama bwana ." "na mtumishi atarizika pale tu atakapokuwa na umuhimu kama Bwana wake"
|
|
|
|
# Ikiwa wamwita bwana ... wa nyumba Belzabuli, ni kwa kiasi gani zaidi kwa wale wa nyumba yake
|
|
|
|
Kwa mara nyingine Yesu anasisitiza kuwa kama watu walimtenda vibaya, hivyo wanafunzi wategemee kufanyiwa hivyo au zaidi.'
|
|
|
|
# ni kwa kiasi gani watawakashifu watu wa nyumba yake
|
|
|
|
" majina yale wanayotumia kuwaita watu wa nyumba yake hakika yatakuwa mabaya zaidi" au "kwa hakika wataita watu wa nyumba yake majina mabaya zaidi"
|
|
|
|
# Ikiwa wamemwita
|
|
|
|
"kwa watu wamemwita"
|
|
|
|
# Bwana wa nyumba
|
|
|
|
Yesu anatumia hiii kama msemo kwa ajili yake
|
|
|
|
# Belzabuli
|
|
|
|
Hili jina linaweza 1) likaelezwa moja kwa moja kama "Belzabuli" au "2) Kutafsiri kama asili yake, kumaanisha "shetani"
|
|
|
|
# wa nyumba yake
|
|
|
|
Hii ni sitiari kwa maana ya wanafunzi wa Yesu
|