forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
527 B
Markdown
20 lines
527 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Yerusalemu.
|
|
|
|
# Kwa sababu umeuleta uovu wako kwenye kumbukumbu zangu
|
|
|
|
"Kwa sababu umenikumbusha uovu wako"
|
|
|
|
# uovu wako kwenye kumbukumbu zangu, makosa yenu yatafunuliwa! Dhambi zenu zitaonekana katika matendo yenu yote
|
|
|
|
"kwa kuufunua uovu wako, dhambi zako zitaonyeshwa wazi kwa kila mtu."
|
|
|
|
# Kwa sababu hii utamkumbusha kila mtu kwamba
|
|
|
|
"Kwa sababu hii kila mtu ataelewa kwamba"
|
|
|
|
# utatekwa kwa mkono wa adui zako
|
|
|
|
"mfalme wa Babeli atakuteka."
|