forked from WA-Catalog/sw_tn
776 B
776 B
Sentensi unganishi
Hapa tena panaanza mateso upya. tukio la kwanza ni la kuuawa kwa Yakobo na kisha kukamatwa kwa Petro na kutiwa gerezani na baadaye kuwa huru.
Maelezo ya jumla
Hii ni historia kuhusu Herode kumwua Yakobo.
Sasa
Hii inaanzisha mwanzo wa simulizi.
Wakati huo
Neno linalotambulisha wakati au kipindi cha njaa.
akanyosha mkono wake
Inamaanisha Herode alikuwa ameanza kuwakamata waumini.
wale wanaotoka kwenye kusanyiko
Ni Yakobo na Petro pekee wanatajwa kuashiria huwa hawa walikuwa viongozi wa kanisa la Yerusalemu.
ili kuwatesa
"Kusababisha mateso kwa waumini"
Akamwuua Yakobo nduguye Yohana kwa upanga.
Hii inaonyesha namna Yakobo alivyouawa.
Akamwua
Inamaanisha ama "Herode Mfalme alimwua" au "Herode Mfalme aliagiza kuua."