sw_tn/1ki/05/04.md

332 B

Taarifa kwa ujumla

Sulemani anaendelea kuongea na mfalme Hiramu juu ya ujenzi wa hekalu

amenipa mimi pumziko toka pande zote

wakati wamfalme Daudi natu wa Israeli kulikuwa na vita, lakini sasa mafalme Sulemani na watu walikuwa na pumziko na amani.

nitamweka kwenye kiti chako cha enzi

"nitamfanya kuwa mfalme baada yako"