forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
739 B
Markdown
32 lines
739 B
Markdown
# Uwe na huruma kwetu
|
|
|
|
Nomino dhahania ya "huruma" inaweza kuelezwa kama kitendo. "kutendea kwa huruma"
|
|
|
|
# tumeshiba ... Tumeshiba zaidi
|
|
|
|
Misemo hii miwili inamaana ya kufanana, wa pili unaongeza ukali wa ile wa kwanza.
|
|
|
|
# tumeshiba aibu
|
|
|
|
Hapa aibu inazungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoweza kumjaa mtu. "tumefedheheka sana"
|
|
|
|
# Tumeshiba zaidi
|
|
|
|
Lahaja hii inamaanisha idadi imezidi kwa ubaya. "tumepata kingi sana"
|
|
|
|
# kejeli ... na dharau
|
|
|
|
Misemo hii miwili inamaana ya kufanana na inatumika pamoja kusisitiza jinsi gani walivyo dhihakiwa na watu.
|
|
|
|
# kejeli
|
|
|
|
kudhihaki au kutukana
|
|
|
|
# jeuri
|
|
|
|
Hii inaashiria watu wenye jeuri. "watu wasio na adabu na wenye kiburi"
|
|
|
|
# wenye kiburi
|
|
|
|
Hii inaashiria watu wenye kiburi. "watu walio na kiburi"
|