forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.6 KiB
Markdown
40 lines
1.6 KiB
Markdown
# Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai
|
|
|
|
Maswali mawili ya Ayubu kimsingi humaanisha kitu kimoja. Yeye anashangaa kwanini hao ambao hukabili magumu huendelea kuishi.
|
|
|
|
# Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga?
|
|
|
|
Hapa Ayubu anashangaa kwanini lazima watu wabaki hai na kuteseka. "Mimi sielewi kwa nini Mungu hutoa uhai kwa mtu ambaye anateseka"
|
|
|
|
# mwanga
|
|
|
|
Hapa mwanga unawakilisha uhai
|
|
|
|
# Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai ... hazina iliyofichika?
|
|
|
|
"je kwa nini Mungu hutoa uhai kwa mtu mwenye taabu? "Mimi sielewi kwa nini Mungu anatoa uhai kwa mtu mwenye huzuni sana ... hazina iliyofichika"
|
|
|
|
# ambao hutamani mauti lakini hawapati
|
|
|
|
Hapa kifo kinazungumziwa kana kwamba kuna kitu kinakuja kikimwelekea mtu fulani. "kwa mtu ambaye haitaji tena kuwa hai, lakini bado yu-hai"
|
|
|
|
# ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika
|
|
|
|
Mtu anayetumainia kufa anazumgumziwa hapa kana kwamba anachimbua hazina iliyozikwa. "kwa mtu ambaye anahitaji kufa zaidi ya yeye kutafuta hazina iliyofichika"
|
|
|
|
# Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi
|
|
|
|
Hapa Ayubu anatumia swali kufanya kauli. "Mimi sielewi kwa nini Mungu anaruhusu mtu kuendelea kuishi wakati mtu huyo angefurahi kuzikwa katika udongo"
|
|
|
|
# ambao hushangilia mno na kufurahi
|
|
|
|
Msemo wa "hufurahia sana" kimsingi unamaanisha kitu kimoja kama "furaha." Pamoja, misemo yote miwili inatilia mkazo wa nguvu ya furaha. "mtu ambaye ana furaha sana"
|
|
|
|
# alionapo kaburi
|
|
|
|
Hii ni njia ya heshima ya kumaanisha kufa. "wakati yeye akifa na anaweza kuzikwa"
|
|
|
|
# kaburi
|
|
|
|
Hapa kaburi linawakilisha kifo.
|