sw_tn/gal/03/17.md

461 B

Kwa kuwa kama urithi ungelikuja kwa njia ya sheria, usingekuwa tena umekuja kwa njia ya ahadi

Paulo anaongelea hali ambayo haipo ili kutia makazo kwamba urithi unakuja tu kwa njia ya ahadi. " Urithi unakuja kwetu kwa njia ya ahadi kwa sababu hatukuweza kutunza matakwa ya sheria za Mungu"

urithi

Ni kupokea kile ambacho Mungu kwa maneno awewaahidi waumini kama ulivyo urithi wa mali na utajiri kutoka kwa mwana familia,na baraka za milele na ukombozi.