sw_tn/eph/05/13.md

790 B

sentensi unganishi

Haijulikani kama nukuu hii ni zile za Nabii Isaya au ni nukuu ya nyimbo zilizoo imbwa na waamini.

Kila kitu kimefunuliwa na nuru

Kama vile nuru hufunua vitu ambavyo vilikuwa vimefichwa katika ulimwengu unaoonekana, hivyo nuru ya Kristo inafunua uovu wa matendo ya kiroho ya wasioamini katika ulimwengu wa kiroho.

Amka, wewe uliyelala, na inuka kutoka kwa wafu

Wasioamini wanahitaji kuamka kutoka katika kifo cha kiroho kama vile mtu ambaye amekufa lazima afufuke tena ili kusudi aitikie.

wewe ulalaye ... atang'aa juu yako

"wewe" ya husu "aliyelala"

Kristo ataangaza juu yako

Kristo atamwezesha asiyeaamini kufahamu kiasi cha msamaha kilichotolewa na maisha mapya kama vile nuru inavyoonesha dhahiri kilichoko pale ambacho kilikuwa kimefichwa na giza.