forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
830 B
Markdown
24 lines
830 B
Markdown
# Matendo 14 Maelezo kwa jumla
|
|
|
|
## Dhana Maalum katika sura hii
|
|
|
|
### "Ujumbe wa neema yake"
|
|
|
|
Ujumbe wa Yesu ni ujumbe wa Mungu ambao huwapa neema wanaomuamini Yesu. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/grace]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]])
|
|
|
|
### Zeu na Herme
|
|
|
|
Watu wa mataifa katika himaya ya Warumi waliabudu miungu wengi ambao hawakuwepo. Paulo na Barnaba waliaambia kuamini katika "Mungu aliye hai" Yahwe. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/falsegod]])
|
|
|
|
## Maswala mengine tata kwenye tafsiri ya sura hii.
|
|
|
|
### "Lazima tuingie kwenye ufalme wa Mungu kupitia mateso mengi"
|
|
|
|
Yesu aliwaambia wafuasi wake kabla hajafa kwamba kila anayemfuata angepata mateso. Paulo anayarudia maneno hayo kupitia maneno tofauti na hayo.
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[Acts 14:1](../../act/14/01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../13/intro.md) | [>>](../15/intro.md)__
|