sw_tn/act/07/43.md

671 B

Sentensi unganishi

Stefano anaendeleza majibu yake kwa Kuhani Mkuu na wajumbe wa baraza

Maelezo ya Jumla.

Hii ni nukuu Stefano anaiweka kutoka kwa Nabii Amosi

Mliipokea

Inamaanisha waliitwaa hiyo miungu pamoja nao wakasafiri pamoja nayo huko Jangwani

Hema ya kukutania ya Moleki

Hema ya kukutania au hema ambalo lilijengwa kumwabudu mungu Moleki

Nyota ya mungu Refani

nyota ambayo ilimtambulisha mungu wa uongo Refani

picha ambayo mliitengeneza

Walitengeneza picha ya mungu Moleki na Refani kwa kusudi la kumwabudu.

nitawapeleka mbali zaidi ya Babeli.'

Nitawaondoa kwenye maeneo hata mbali zaidi ya Babeli. Huu ni mwitikio wa hukumu ya Mungu.