sw_tn/act/02/16.md

476 B

Maelezo ya jumla

Petro anaendelea na hotuba yake kwa Wayahudi akiwakumbusha unabii wa nabii Yoeli katika Agano la Kale kwamba tukio hilo linalingana na utabiri huo.

Hiki ndicho kilichosemwa kupitia nabii Joeli

"hiki ni kile ambacho Mungu alisema na alimwabia Nabii Yoeli aandike mambo ambayo Mungu alikwishasema"

kumimina Roho wangu juu ya miili yote

Hii ni tamathali ya usemi ikizungumzia jinsi Mungu siku za mwisho atamtoa Roho Mtakatifu kwa wingi kwa watu wote.