forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
419 B
Markdown
20 lines
419 B
Markdown
# 2 Timotheo 04 Maelezo kwa jumla
|
|
|
|
## Muundo na mpangilio
|
|
|
|
### "Napeana amri hii ya dhati"
|
|
|
|
Paulo anapeana mashauri ya kibinafsi kwa Timotheo
|
|
|
|
## Dhana Muhimu katika Sura hii
|
|
|
|
### Taji
|
|
|
|
Maandiko matakatifu yanatumia aina nyingi ya mataji kama mfano wa vitu vingi. Inaonekana Kristo atawatuza waumini wake kama taji la kuishi maisha mazuri
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[2 Timothy 04:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../03/intro.md) | __
|