forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
732 B
Markdown
21 lines
732 B
Markdown
# 2 Timotheo 01 Maelezo kwa jumla
|
|
|
|
## Dhana muhimu katika sura hii
|
|
|
|
### Watoto wa kiroho
|
|
|
|
Paulo alimfundisha Timotheo kuwa Mkristo na kiongozi wa kanisa. Kuna uwezekano kwamba Paulo pia alimuongoza kumwamini Kristo. Kwa maana hiyo Paulo anamwita Timotheo (Mwanangu mpendwa" (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/disciple]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]]))
|
|
|
|
## Maswala mengine ya utata katika kutafsiri sura hii
|
|
|
|
### Mateso makali
|
|
|
|
Paulo alikuwa gerezani wakati akiandika barua hii. Paulo anamhimiza Timotheo kuwa tayari kuteseka kwa sababu ya injili. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[2 Timothy 01:01 Notes](./01.md)__
|
|
* __[2 Timothy intro](../front/intro.md)__
|
|
|
|
__| [>>](../02/intro.md)__
|