forked from WA-Catalog/sw_tn
339 B
339 B
Daudi akatuma neno
Hii inamaanisha kwamba alituma mjumbe kuongea na Tamari
Donge
Mchanganyiko wa unga na maji unaotumika kwa kuokea.
Kuukanda
Kutumia mikono kulichanganya donge
mbele yake
Hii inamaanisha kwamba Tamari alitengeneza mkate mbele ya Amnoni.
Hivyo kila mtu akatoka
"Kutoka nje kwa mtu" inamaanisha kuwaacha.