forked from WA-Catalog/sw_tn
351 B
351 B
ishirini na moja ... kumi na moja
moja ... kumi na moja - "21 ... 11"
Hamutali
Hili ni jina la mwanamke.
Yeremia
Hili ni jina la kiume.
Libna
Hili ni jina la mahali
Alifanya uovu usoni mwa Yahwe
"uovu" unaweza kutafsiriwa kama "vitu ambavyo ... viovu." Hapa "uso" wa Yahwe unarejea vile ahukumuvyo au kuamua kwenye thamani ya kitu.