forked from WA-Catalog/sw_tn
388 B
388 B
maelezo ya jumla
Paulo anawambia Watheselonike waamini kuwa mwenendo wake haukuwa katika maneno ya kujipendekeza, ulafi, au kujitukuza
tumia maneno ya kujipendekeza
"Kuongea na wewe kwa sifa za uongo
wala kama kisingizio cha tamaa
"wala sisi hakutumia maneno kama kisingio cha uchoyo ili wewe utupatie vitu
inaweza kudai upendeleo
inaweza kuwa alifanya wewe kutupatia vitu