sw_tn/1th/02/03.md

329 B

wala hayatoki kwa Ubaya, wala kwa uchafu, wala kwa udanganyifu

Alikuwa mkweli, safi na mwaminifu

tulivyokubalika na Mungu na kuaminiwa

Paulo alijaribiwa na kithibitishwa mwaminifu na Mungu

tunanena

Paulo azungumza kuhubiri injili

"Mungu, ambaye huipima mioyo yetu

"Mungu, ambaye huchunguza mawazo na matendo yetu"