forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
866 B
Markdown
28 lines
866 B
Markdown
# 1 Yohana 05 Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
## Dhana maalum katika sura hii
|
|
|
|
### Watoto waliozaliwa kutoka kwa Mungu
|
|
|
|
Watu wanapoamini Yesu, Mungu huwafanya watoto wake na kuwapa uzima wa milele. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]])
|
|
|
|
### Kuishi Kikristo
|
|
|
|
Watu wanaomwamini Yesu wanapaswa kutii amri za Mungu na kupenda watoto wake.
|
|
|
|
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
|
|
|
### Kifo
|
|
|
|
Wakati Yohana anaandika juu ya kifo katika sura hii, anaelezea kifo cha kimwili. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/other/death]])
|
|
|
|
### "Ulimwengu wote upo katika uwezo wa mwovu"
|
|
|
|
Maneno "yule mwovu" yanamaanisha Shetani. Mungu amemruhusu aongoze ulimwengu, lakini hatimaye Mungu ana mamlaka juu ya kila kitu. Mungu anawaweka watoto wake salama mbali na mwovu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/satan]])
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[1 John 05:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../04/intro.md) | __
|