forked from WA-Catalog/sw_tn
663 B
663 B
Maelezo ya Jumla
Maneno "yeye" na "Aliye" humrejea Yesu Kristo
Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu ambacho huelezea uhusiano wake kwa Mungu.
ametupatia ujuzi
"ametuwezesha kumwelewa huyo kweli"
uzima
Hapa, neno "uzima" husimama kwa niaba ya haki ya kuishi milele kwa neema na pendo la Mungu. Tazama maelezo katika1:1.
Yeye ni... uzima wa milele
hili linasimama kwa niaba ya wazo kwamba Kristo hutupatia uzima wa milele.
Watoto
Yohana alitumia maelezo haya kuonyesha kuonyesha upendo wake kwa ajili yao. : "Watoto wangu katika Kristo" au "ninyi mlio wapendwa kwangu kama watoto wangu mwenyewe." Tazama lilivyotafsiriwa katika 2:1.