forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
657 B
Markdown
24 lines
657 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yohana anaendelea kuwafundisha wasomaji wake kuhusu upendo wa Mungu na upedo ambao waaminio wanapaswa kuwa nao kwa sababu mekuwa na hali hii mpya kutoka kwa Mungu
|
|
|
|
# amezaliwa na Mungu
|
|
|
|
"ni mwana wa Mungu"
|
|
|
|
# Kwa hili twajua kwamba twawapenda watoto wa Mungu: tunapompenda Mungu na kutekeleza amri zake.
|
|
|
|
"Tunapompenda Mungu na kutenda atuamruyo, ndipo tunatambua kwamba tunawapenda watoto wake"
|
|
|
|
# Hivi ndivyo tunavyompenda Mungu kwamba twazishika amri zake.
|
|
|
|
"Kwa sababu tunapofanya atuamruyo, hilo ndilo pendo la Mungu"
|
|
|
|
# Na amri zake ni nyepesi.
|
|
|
|
"Na anayotuamru siyo gumu"
|
|
|
|
# nzito
|
|
|
|
"lenye kuponda," "lenye kukandamiza" au "gumu"
|