forked from WA-Catalog/sw_tn
408 B
408 B
alimfufua Bwana
sababisha Yesu kuishi tena
Hamjuwi kwamba miili yenu ni muunganiko wa Kristo?
Kama tu mikono na miguu ni muunganiko wa miili yetu. Hivyo miili yetu ni muunganiko na mwili wa Kristo- Kanisa. "Miili yenu ni kiungo cha Kristo"
Nitatoa muunganiko wa Kristo na kuungana kwa kahaba?
"Ninyi ni viungo vya Kristo.Sitawaunganisha kwa kahaba."
Haiwezekani!
"Haiwezi kamwe kutokea vile!"