|
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mungu anaendelea kumjibu Daudi kwa swali lake.
|
|
|
|
# atakutangulia kwenda
|
|
|
|
"ataenda mbele yako kukupigania"
|
|
|
|
# Gezeri
|
|
|
|
Hili ni jina la mji
|
|
|
|
# umaarufu wa Daudi ukaenda katika nchi zote
|
|
|
|
"Watu wa mbali wakaskia ushinde wa Daudi dhidi ya Wafilisti"
|