sw_tn/1ch/07/20.md

209 B

Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi

"Wanaume wa Gathi, wenyeji wa nchi, waliwaua Eza na Eleadi"

walipoenda kuiba mifugo yao

"ndugu walienda kuiba mifugo kutoka kwa watu wa Gathi"