sw_tn/1ch/06/54.md

570 B

Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao)

"Haya ndiyo maeno ambayo uzao wa Aruni, koo za Wakohathi, waliishi (kura zilpigwa kujua wapi wataishi)"

Wakohathi

Ona jinsi ulivyo tafsiri 6:33

Walipewa Hebron

"Waliwapatia Hebroni kuwa yao"

lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune

"Kalebu na familia yake walienda kuishi kwenye mashamba ya Hebroni na vijiji vizungukavyo"

nchi ya malisho

Hii ni sehemu ya nyasi ambapo wanyama wanakula.