sw_tn/1ch/02/42.md

4 lines
306 B
Markdown

# Wana wa Kalebu ... Maresha
Tafsri tofauti zinaelewa mahusiano miongoni mwa hawa watu kwa njia tofauti. Baadhi ya wafasiri wanaamini kwamba "baba wa Hebroni ... baba wa Rahama, baba wa Yorkeamu ... baba wa Shamai" ya maanisha "mzinduzi wa ukoo wa Hebroni," nk. Baadhi ya tafsiri za weza tumia hii lugha.