sw_tn/psa/060/008.md

502 B

Moabu ni bakuli langu la kunawia

Mungu anazungumzia Moabu kutokuwa muhimu kana kwamba Moabu ni bakuli la kunawia au mtumishi wa chini. "Moabu ni kama bakuli nilalotumia kunawia"

juu ya Edomu nitarusha kiatu changu

Inawezekana Mungu alikuwa akizungumzia kuimiliki Edomu kana kwamba anatupa kiatu kwa ishara katika nchi kuonesha kuwa inaimiliki. Ingawa tafsiri zingine hapa ziko tofauti. "Ninachukua umiliki wa nchi ya Edomu" au "Ninatupa kiatu changu katika nchi ya Edomu kuonesha kuwa ni yangu"