sw_tn/psa/060/004.md

839 B

umeweka benderea

Mungu kuwaongoza watu wake vitani inazungumziwa kana kwamba Mungu ni binadamu mfalme au kamanda mkuu aliyeweka bendera kwa ajili ya jeshi lake. "wewe ni kama mfalme anayeweka bendera" au "unatuagiza vitani kama mfalme anayeinua bendera"

bendera

"bendera ya vita." Hii ni bendera ambayo mfalme au kamanda huinua kwenye nguzo kuonesha kuwa jeshi linapaswa kukusanyika.

kuonesha dhidi ya wale waliobeba upinde

"kuonesha dhidi ya wale waliobeba upinde."

kuonesha dhidi ya wale waliobeba upinde

Msemo huu "wale waliobeba upinde" unamaanisha jeshi la adui vitani. "kuonesha wakati akipeleka jeshi lake vitani dhidi ya adui zako"

kwa mkono wako wa kuume

Mkono wa kuume wa Mungu unaashiria nguvu. "kwa nguvu yako"

nijibu

Kumjibu hapa inawakilisha kuitikia ombi lake. "itikiaombi langu" au "jibu ombi langu"