sw_tn/psa/059/016.md

1.0 KiB

umekuwa mnara wangu wa juu na kimbilio langu

Minara ya juu na sehemu za kukimbilia ni mahali ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya kivuli kutoka kwa adui zao. Mwandishi anazungumzia Mungu kumlinda kana kwamba Mungu alikuwa kivuli imara na salama. "umenilinda kama mnara wa juu na kimbilio.

katika siku ya dhiki yangu

"Neno "siku" hapa inamaanisha kipindi katika wakati. "wakati nina taabu"

Kwako, nguvu yangu, nitaimba sifa

"Wewe ni nguvu yangu, kwa hiyo nitaimba sifa kwako"

nguvu yangu

Mungu kuwa nguvu ya mwandishi wa zaburi inazungumziwa kama Mungu kumlinda. "mlinzi wangu"

kwa Mungu ni mnara wangu wa juu

Minara ya juu na sehemu za kukimbilia ni mahali ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya kivuli kutoka kwa adui zao. Mwandishi anazungumzia Mungu kumlinda kana kwamba Mungu alikuwa kivuli imara na salama. "umenilinda kama mnara wa juu na kimbilio.

Mungu wa agano la umanifu

Hii inaweza kuelezwa katika sentensi tofauti. "Yeye ni Mungu wa agano la uaminifu" au "Wewe ni Mungu wa agano la uaminifu"