sw_tn/psa/058/006.md

1.2 KiB

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kuorodhesha vitu ambavyo anapenda Mungu awafanyie watu waovu.

Vunja meno yao ... vunja nje meno makuu ya simba wachanga

Katika misemo hii miwili, watu waovu wanazungumziwa kana kwamba ni simba, na kuwafanya wanyonge kuua watu inazungumziwa kama kuvunja meno yao. "Chukua nguvu yao ya kuua. Uwafanye kuwa wanyonge kama simba wachanga ambao meno yao yamevunjwa na kuanguka nje"

Acha wayeyuke kama maji yanayotiririka

Watu waovu wanazungumziwa kana kwamba ni barafu au maji. Kutokuwepo tena inazungumziwa kama kuyeyuka au maji kutiririka kwenye ardhi kavu. "Wafanye wapotee kama maji yanayotiririka" au "Wafanye wapotee kama barafu inayoyeyuka na kutiririka kwenye ardhi"

acha wawe kana kwamba hawana ncha

"acha mishale yao iwe kama haina ncha"

Acha wawe kama konokono inayoyeyuka na kupita

Kutokuwepo tena inazungumziwa kama kuyeyuka na kupotea. "Acha waovu wapotee kama konokono anayeyuka na kutokuwepo tena"

konokono

"koa"

kama mtoto wa mwanamke aliyezaliwa kabla ya muda ambaye hajaliona jua

Kutokuwepo kunazungumziwa kama kuwa kama mtoto anayezaliwa akiwa amekufa. "kama mtoto anayezaliwa mapema sana kuishi na kuona mwanga wa jua" au "kama mtoto alizaliwa akiwa amekufa"