sw_tn/psa/056/003.md

351 B

kwako

Neno "kwako" linamaanisha Mungu.

mtu tu anaweza kufanya nini kwangu?

Hapa swali linatumika kuonesha kuwa mwandishi wa zaburi haogopi watu, kwa sababu hawawezi kumdhuru kabisa. "watu tu hawawezi kufanya kitu kwangu!" au "watu tu hawawezi kunidhuru vibaya!"

mtu tu

"watu." Hii inadokezwa kuwa watu hawana nguvu, lakini Mungu ana uwezo.