forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
531 B
Markdown
12 lines
531 B
Markdown
# kumwaga damu
|
|
|
|
Msemo huu unamaanisha kumua mtu mwingine.
|
|
|
|
# Bwana, fungua midomo yangu, na mdomo wangu utaeleza sifa yako
|
|
|
|
Kuwa na uwezo wa kuongea inazungumziwa kama midomo kuwa wazi. Hapa kutoweza kuongea ni ishara ya kuwa na hatia ya dhambi na kutoweza kujitetea. "Bwana, nifanye niweze kuongea, na nitakusifu"
|
|
|
|
# hupendezwi na sadaka ... hauna furaha na sadaka za kuteketeza
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba Mungu anataka kitu cha muhimu zaidi ya hivi vitu. "Sadaka haitoshi kukupendeza ... unataka kitu zaidi ya sadaka za kuteketeza"
|