sw_tn/psa/050/003.md

574 B

habaki kimya

Mwandishi anatumia kauli hii hasi kusisitiza kitu chanya. "huzungumza ili kila mtu aweze kumsikia"

moto unameza mbele yake

Mwandishi anazungumzia moto kuunguza vitu kana kwamba ulikuwa ukiwala. "moto unachoma mbele yake"

kuna tufani inayomzunguka

"kuna tufani kubwa imemzunguka"

Huita mbingu juu na dunia

Maana zinazowezekana ni 1) Mungu anawaita wote wanaoishi mbinguni na duniani kuwa mashuhuda akiwa anawahukumu watu wake au 2) Mungu anazungumza na mbingu na dunia kana kwamba ni watu, na anawaita kuwa mashahidi wakati anawahukumu watu wake.