sw_tn/psa/049/011.md

235 B

Mawazo yao ya ndani

"Imani yao"

nasehemu wanazoishi, kwa vizazi vyote

"na sehemu wanazoishi zitaendelea vizazi vyote"

wanaita ncho baada ya majina yao

"wanaita nchi zao kwa majina yao wenyewe." "wanamiliki nchi zao wenyewe"