forked from WA-Catalog/sw_tn
448 B
448 B
mikono yangu ilikuwa misafi
Hapa kuwa na "mikono misafi" inamaanisha mtu hana hatia. "matendo yangu yote yalikuwa sawa"
Nimetunza njia za Yahwe
Sheria za Yahwe zinazungumziwa kana kwamba zilikuwa njia ambazo mtu anapaswa kutembea. "Nimetii sheria za Yahwe"
sijageuka kwa uovu kutoka njia ya Mungu
Hapa kuwa mwovu inazungumziwa kama mtu kuacha njia sahihi na kufuata njia isiyo sahihi. "sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu wangu"