Akafungua
Aliyefungua ni Yahwe.
giza nene lilikuwa chini ya miguu yake
Ingawa Yahwe sio binadamu, mwandishi anampa sifa za binadamu. "giza nene lilikuwa chini yake"
mabawa ya upepo
Hapa mwandishi wa zaburi anazungumzia upepo kana kwamba una mabawa kama malaika.