forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
480 B
Markdown
16 lines
480 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Waisraeli hawa walikuwa ni Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase ambao walimjibu Yoshua.
|
|
|
|
# Yeyote anayeasi maagizo yako na kutotii maneno yako
|
|
|
|
Virai hivi vya manane kimsingi vina maana moja tu na pia vinatia mkazo kuwa aina yoyote ya uasi itaadhibiwa.
|
|
|
|
# atauawa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa kauli tendaji: ''Tutamwua''
|
|
|
|
# Uwe hodari na jasiri tu
|
|
|
|
Mungu pamoja na Waisraeli walizingatia mambo yote kuwa ya muhimu kwa Yoshua kuendelea kama kiongozi wao.
|